Nenda kwa yaliyomo

Marcel Vonlanthen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Marcel Vonlanden (alizaliwa 8 Septemba 1933) ni mshambuliaji wa soka kutoka Uswisi ambaye alichezea timu ya taifa ya Uswisi katika Kombe la Dunia la FIFA 1962. Pia alichezea klabu ya FC Lausanne-Sport.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marcel Vonlanthen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.