Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano ya jamii:Hifadhi za Taifa za Tanzania

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Weka mada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pendekezo

[hariri chanzo]

Pendekezo: Utalii ni sekta nyeti na yenye kuliingizia Taifa pato kubwa, kwa ushauri kanini sekta hii isijipanue yenyewe kwa kuwasomesha wataalamu wengi zaidi katika ngazi ya shahada ambao hawatategemea mkopo kutoka Bodi ya mikopo? Hii ni kulingana na uhitaji wa wasomi ambao watakuwa washauri wakubwa katika ushindani wa kibiashara ndani na nje ya Tanzania, na hasa kama mabalozi wa utalii nje ya nchi wenye taaluma ya utalii katika nyanja tofautitofauti ndani ya utalii.

Hifadhi ya mpanga kipengere

[hariri chanzo]

Hifadhi ya mpanga kipengere ni hifadhi mpya iliyo anzishwa mwaka 2015.Inapatikana mikoa ya Njombe na mbeya.