henry yohana fundi
P.O.Box
dar es salaam
Tanzania
wizara ya sanaa na utamaduni
tanzania
kama nilivyo jitambulisha kwamajina yangu hariai
naitwa henry yohana fundi[1MAN-DUCTACTIC,CHUNDABAD,MUJUWAHUKI]
mimi ni kijana niaye jishulisha na masuala ya sanaa, sawa nina kazi zangu
ambazo nimezifanya.
natuma barua hii ya kuingiza taarifa yakuwa ninatabia yakufanya kazi nikiwa
ndani ya chumba mwaka [2016] wakati nikiwa ndani ya chumba nilikuwa nikiimba nyimbo
zile nyimbo ambazo nilikuwa nikiimba zilikuwa zinaendelea kusikika kupitia radio,
na mimi mwenyewe baadhi nimezipata,ikiwemo moja ya tangazo na matangazo
nilicho kuja kugundua iliyokuwa ikini record ilikuwa ni satelite ,pamoja na michoro
kama halotel,sioni jinsi ya kupata msaada.