Majadiliano:Mohoro

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mohoro Ni jina lililotokana na jina mti ,(mfuru).katika utawala wa wajerumani gavana wa kipindi bw yawnger maarufu yange ,yeye jina hili aliuita ,amahoro , wakati wa Vita ya majimaji(1905) ndipo wamatumbi wakachanganyika na wandengereko hapo ndipo matamshi takawa mohoro na hili ndilo jina linalotumika mpaka sasa. Imetolewa na badru mlawa mkazi wa mohoro