Majadiliano:Mohoro
Mohoro Ni jina lililotokana na jina mti ,(mfuru).katika utawala wa wajerumani gavana wa kipindi bw yawnger maarufu yange ,yeye jina hili aliuita ,amahoro , wakati wa Vita ya majimaji(1905) ndipo wamatumbi wakachanganyika na wandengereko hapo ndipo matamshi takawa mohoro na hili ndilo jina linalotumika mpaka sasa. Imetolewa na badru mlawa mkazi wa mohoro
Start a discussion about Mohoro
Talk pages are where people discuss how to make content on Wikipedia the best that it can be. You can use this page to start a discussion with others about how to improve Mohoro.