Majadiliano:Mbezi (Ubungo)

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

kata ya mbezi[hariri chanzo]

hii ni kata iliyomo ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa dar - es- salaam kutokana na sensa ya mwaka 2012 watu waishio humo ni 73,414 sabini na tatu elfu mia nne kumi na nne kwa namba za jamii ambayo ilikuawa na watu wengi ni wagogo