Majadiliano:Kimiya
Maliwatoni[hariri chanzo]
Ni neno la kiswahili lenye visawe vyake kama choo,uwani,n.k chumba au sehemu iliyotengwa kwa ajili ya kutolea/kuhifadhi takamwili(mkojo) na mabaki ya chakula yasiyokuwa na kazi tena mwilini mwa mwanadamu(kinyesi).