Wasaksoni : Tofauti kati ya masahihisho
jamii |
No edit summary |
||
Mstari 3: | Mstari 3: | ||
Baadhi yao, pamoja na jirani zao [[Waangli]], jumla watu 200,000 hivi, walivamia [[Britania]] katika [[karne ya 5]] na baada ya hapo, wakiweka msingi wa [[Uingereza]] wa leo. |
Baadhi yao, pamoja na jirani zao [[Waangli]], jumla watu 200,000 hivi, walivamia [[Britania]] katika [[karne ya 5]] na baada ya hapo, wakiweka msingi wa [[Uingereza]] wa leo. |
||
Wengine wao walibaki katika Ujerumani ya Kaskazini wakapingana na milki ya Wafaranki na kushindwa na Karolo Mkuu. Katika karne ya 9 BK utemi wa Saksonia ulianza kuwa muhimu katika milki ya Ujerumani hadi mnamo mwaka 919 mtemi Heinrich I alichaguliwa kuwa mfalme wa Ujerumani. |
|||
Watawala Wasaksoni waliendelea kuongoza milki ya Wajerumani hadi 1024 hata kuchugua cheo cha [[kaisari]] chini ya Otto I. Baadaye mtemi wa Saksonia alishindana na kaisari Frederiki I na utemi wa Saksonia uligawiwa. Cheo cha "Mtemi wa Saksonia" kilibaki na mtawala wa eneo dogo tu na kwa njia ya urithi cheo kilihamia katika kusini-mashariki ya Ujerumani. Tangu siku zile jina la "[[Saksonia]]" linataja maeneo upande wa kusini wa [[Berlin]] ya leo. Maneneo ya Saksonia ya kiasili kwenye kazkazini-magharibi ya Ujerumani leo hii hujulikana kwa jina la "[[Saksonia Chini]]". |
|||
==Tanbihi== |
==Tanbihi== |
Pitio la 22:49, 10 Oktoba 2016
Wasaksoni (kwa Kilatini Saxones, kwa lugha za Kijerumaniki Seaxe, Sahson, Sassen, Sachsen, Saksen, kutoka "seax", jina la kisu maalumu walichotumia) walikuwa shirikisho la makabila kadhaa ya Wagermanik wakazi wa Ujerumani Kaskazini walioenea katika sehemu za jirani.
Baadhi yao, pamoja na jirani zao Waangli, jumla watu 200,000 hivi, walivamia Britania katika karne ya 5 na baada ya hapo, wakiweka msingi wa Uingereza wa leo.
Wengine wao walibaki katika Ujerumani ya Kaskazini wakapingana na milki ya Wafaranki na kushindwa na Karolo Mkuu. Katika karne ya 9 BK utemi wa Saksonia ulianza kuwa muhimu katika milki ya Ujerumani hadi mnamo mwaka 919 mtemi Heinrich I alichaguliwa kuwa mfalme wa Ujerumani.
Watawala Wasaksoni waliendelea kuongoza milki ya Wajerumani hadi 1024 hata kuchugua cheo cha kaisari chini ya Otto I. Baadaye mtemi wa Saksonia alishindana na kaisari Frederiki I na utemi wa Saksonia uligawiwa. Cheo cha "Mtemi wa Saksonia" kilibaki na mtawala wa eneo dogo tu na kwa njia ya urithi cheo kilihamia katika kusini-mashariki ya Ujerumani. Tangu siku zile jina la "Saksonia" linataja maeneo upande wa kusini wa Berlin ya leo. Maneneo ya Saksonia ya kiasili kwenye kazkazini-magharibi ya Ujerumani leo hii hujulikana kwa jina la "Saksonia Chini".
Tanbihi
Marejeo
- Thompson, James Westfall. Feudal Germany. 2 vol. New York: Frederick Ungar Publishing Co., 1928.
- Reuter, Timothy. Germany in the Early Middle Ages 800–1056. New York: Longman, 1991.
- Reuter, Timothy (trans.) The Annals of Fulda. (Manchester Medieval series, Ninth-Century Histories, Volume II.) Manchester: Manchester University Press, 1992.
- Wallace-Hadrill, J. M., translator. The Fourth Book of the Chronicle of Fredegar with its Continuations. Connecticut: Greenwood Press, 1960.
- Stenton, Sir Frank M. Anglo-Saxon England. 3rd ed. Oxford University Press, 1971.
- Bachrach, Bernard S. Merovingian Military Organisation, 481–751. Minneapolis: University of Minnesota Press, 1971.
- Goldberg, Eric J. "Popular Revolt, Dynastic Politics, and Aristocratic Factionalism in the Early Middle Ages: The Saxon Stellinga Reconsidered." Speculum, Vol. 70, No. 3. (Jul., 1995), pp 467–501.
- Hummer, Hans J. Politics and Power in Early Medieval Europe: Alsace and the Frankish Realm 600–1000. Cambridge University Press: 2005.
Viungo vya nje
- James Grout: Saxon Advent, part of the Encyclopædia Romana
- Saxons and Britons
- Info Britain: Saxon Britain
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |