Mwongo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating interwiki links, now provided by Wikidata on d:q39911
d Bot: Migrating 2 langlinks, now provided by Wikidata on d:q39911
Mstari 13: Mstari 13:




[[als:Jahrzehnt]]
[[no:Tiår]]
[[pl:Dziesięciolecie]]
[[pl:Dziesięciolecie]]

Pitio la 04:17, 9 Agosti 2015

-Kwa maana ya "mwongo" kumtaja mtu asiyesema ukweli kwa kusudi tazama uongo-

Mwongo (pia: dekadi kutoka Kigiriki / Kiingereza "decade") ni kipindi cha miaka 10. Miongo 10 hufanya karne moja.

Kila miaka 10 ya mfululizo hufanya mwongo lakini mara nyingi neno hutumiwa kutaja ile miaka kumi inayoanza kwa 1960 - 1969 au 1990 hadi 1999.

Njia nyingine ni kusema "mwongo baada" au "mwongo kabla" ya tukio fulani kwa mfano "Mwongo baada ya vita kuu ya pili" kwa kutaja miaka ya 1945-1955 baada ya mwisho wa vita kuu ya pili ya dunia.