Visa vya Esopo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 21 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q865902 (translate me)
+tif
 
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Aesopus - Aesopus moralisatus, circa 1485 - 2950804 Scan00010.tif|thumb|''Aesopus moralisatus'', 1485]]
'''Visa vya Esopo''' vinatokana na masimulizi ya Esopo, ambaye inaaminika kuwa alikuwa ni [[mtumwa]] wa Kiafrika aliyeishi kati ya mwaka 620 na 560 [[Kabla ya Kristo]] katika [[Ugiriki wa Zamani]]. Visa vyake hutumiwa kutoa mafunzo na kuburudisha. Visa hivi hutumiwa kwa wingi katika vitabu vya watoto na vikaragosi.
'''Visa vya Esopo''' vinatokana na masimulizi ya Esopo, ambaye inaaminika kuwa alikuwa ni [[mtumwa]] wa Kiafrika aliyeishi kati ya mwaka 620 na 560 [[Kabla ya Kristo]] katika [[Ugiriki wa Zamani]]. Visa vyake hutumiwa kutoa mafunzo na kuburudisha. Visa hivi hutumiwa kwa wingi katika vitabu vya watoto na vikaragosi.



Toleo la sasa la 22:09, 23 Aprili 2015

Aesopus moralisatus, 1485

Visa vya Esopo vinatokana na masimulizi ya Esopo, ambaye inaaminika kuwa alikuwa ni mtumwa wa Kiafrika aliyeishi kati ya mwaka 620 na 560 Kabla ya Kristo katika Ugiriki wa Zamani. Visa vyake hutumiwa kutoa mafunzo na kuburudisha. Visa hivi hutumiwa kwa wingi katika vitabu vya watoto na vikaragosi.

Historia ya Esopo haijulikani vyema. Inaaminiwa kuwa alikuwa ni mtumwa aliyeachiliwa huru na baadaye alikuja kuuliwa na Wadeliphi. Baadhi ya wanazuoni wanaamini kuwa hakuna mtu aliyewahi kuishi katika historia aliyeitwa Esopo.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]