Rosa Parks : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 70 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q41921 (translate me) |
d Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
[[Jamii:Waliofariki 2005]] |
[[Jamii:Waliofariki 2005]] |
||
[[Jamii:Watu wa Marekani]] |
[[Jamii:Watu wa Marekani]] |
||
{{Link FA|en}} |
Pitio la 13:35, 22 Aprili 2015
Rosa Louise McCauley Parks (4 Februari 1913 – 24 Oktoba 2005) anakumbukwa kwa uamuzi wake wa kukataa kumpisha kiti Mmarekani mweupe kama alivyodaiwa na dereva wa basi. Uamuzi wake huo hapo mwaka 1955 ulipelekea mzozo uliosababisha Mgomo wa Mabasi wa Montgomery na kuchangia katika Vuguvugu la Haki za Kiraia Marekani. Baada ya kitendo chake cha kukataa kumpa mtu mweupe kiti ndani ya basi na Mgomo wa Montgomery uliodumu kwa mwaka, Mahakama ya Marekani ilitamka kuwa sheria za ubaguzi ndani ya mabasi huko Alabama na Montgomery zilikiuka katiba.