Kihamer-Banna : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →Viungo vya nje: +Multitree, +ramani using AWB |
d ki- --> i- using AWB |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Kihamer-Banna''' ni [[Lugha za Kiafrika-Kiasia|lugha ya Kiafrika-Kiasia]] nchini [[Ethiopia]] inayozungumzwa na [[Wahamer]] na [[Wabanna]], makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna |
'''Kihamer-Banna''' ni [[Lugha za Kiafrika-Kiasia|lugha ya Kiafrika-Kiasia]] nchini [[Ethiopia]] inayozungumzwa na [[Wahamer]] na [[Wabanna]], makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna iko katika kundi la Kiomotiki. |
||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 11:41, 17 Mei 2014
Kihamer-Banna ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna iko katika kundi la Kiomotiki.
Viungo vya nje
- lugha ya Kihamer-Banna kwenye Multitree
- ramani ya Kihamer-Banna
- http://www.ethnologue.com/language/amf
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kihamer-Banna kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |