Kihamer-Banna : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kihamer-Banna''' ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili a...' |
|||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
{{DEFAULTSORT:Hamer-Banna}} |
{{DEFAULTSORT:Hamer-Banna}} |
||
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]] |
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]] |
||
[[en:Hamer language]] |
Pitio la 03:29, 11 Januari 2014
Kihamer-Banna ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna kiko katika kundi la Kiomotiki.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kihamer-Banna kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |