Kihamer-Banna : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kihamer-Banna''' ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili a...'
 
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:Q35764
Mstari 8: Mstari 8:
{{DEFAULTSORT:Hamer-Banna}}
{{DEFAULTSORT:Hamer-Banna}}
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]]
[[Jamii:Lugha za Ethiopia]]

[[en:Hamer language]]

Pitio la 03:29, 11 Januari 2014

Kihamer-Banna ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna kiko katika kundi la Kiomotiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihamer-Banna kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.