Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Removing: pl:Emirowie Umm Al-Qaiwain
Mstari 45: Mstari 45:
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]]
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]]
[[no:Umm al-Qaiwain]]
[[no:Umm al-Qaiwain]]
[[pl:Emirowie Umm Al-Qaiwain]]
[[pms:Umm al-Quwain]]
[[pms:Umm al-Quwain]]
[[ru:Умм-Аль-Кувейн (город)]]
[[ru:Умм-Аль-Кувейн (город)]]

Pitio la 13:07, 12 Novemba 2007

Bendera ya Umm al-Quwain
Falme za Kiarabu

Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.

Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.

Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).

Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.

Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.

Viungo vya Nje

  • UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain


Magazeti ya Falme za Kiarabu