Papa Lando : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (untranslated message tl:Papa Landon
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha es:Landon hadi es:Landón
Mstari 26: Mstari 26:
[[en:Pope Lando]]
[[en:Pope Lando]]
[[eo:Lando (papo)]]
[[eo:Lando (papo)]]
[[es:Landon]]
[[es:Landón]]
[[et:Lando]]
[[et:Lando]]
[[eu:Lando]]
[[eu:Lando]]

Pitio la 10:17, 5 Februari 2013

Faili:Landopapa.jpg
Papa Lando

Papa Lando alikuwa papa kuanzia mwezi wa Julai au Agosti 913 hadi kifo chake mwezi wa Februari au Machi 914.

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Lando. Alikuwa papa wa mwisho aliyetumia jina la kipapa ambalo halijatumiwa na papa kabla yake.

Alimfuata Papa Anastasio III akafuatwa na Papa Yohane X.

Viungo vya nje

Papa Lando katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Lando kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.