Kiafrikana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza vep:Afrikaans Imebadilisha pa:ਅਫ਼੍ਰੀਕਾਂਸ ਭਾਸ਼ਾ
Mstari 93: Mstari 93:
[[nso:Afrikaans]]
[[nso:Afrikaans]]
[[oc:Afrikaans]]
[[oc:Afrikaans]]
[[pa:ਅਫ਼੍ਰੀਕਾਂਸ ਭਾਸ਼ਾ]]
[[pa:ਅਫ਼ਰੀਕਾਂਸ ਭਾਸ਼ਾ]]
[[pap:Afrikaans]]
[[pap:Afrikaans]]
[[pl:Język afrikaans]]
[[pl:Język afrikaans]]

Pitio la 19:15, 3 Januari 2013

Majimbo ya Afrika Kusini penye wasemaji wengi au wengi kidogo wa Kiafrikaans kama lugha ya kwanza

Kiafrikaans (Afrikaans) ni lugha ya Afrika Kusini iliyotokea katika karne nne zilizopita kwenye msingi wa Kiholanzi pamoja na athari za lugha mbalimbali. Imekuwa lugha rasmi katika Afrika Kusini tangu mwaka 1925 badala ya Kiholanzi. Hata kama ni lugha iliyozaliwa Afrika kitaalamu ni kati ya lugha za Kigermanik.

Kiafrikaans ina wasemaji wa lugha ya kwanza milioni sita na milioni kumi wasemaji kama lugha ya pili.

Kiasili kimetokea kama lugha ya makaburu ya Afrika Kusini lakini imekuwa pia lugha ya wakazi chotara katika jimbo la Rasi Magharibi ("Cape Coloureds"). Leo hii wasemaji wa asili ya Ulaya ni chini ya nusu ya wasemaji wote wa Kiafrikaans.

Ni lugha rasmi mojawapo Afrika Kusini pamoja na lugha 9 nyingine. Ni pia kati ya lugha ya kitaifa huko Namibia.

Viungo vya nje


Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiafrikana kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA