Yohannes III : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: pl:Jan III (cesarz Etiopii)
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: en:Yohannes III
Mstari 9: Mstari 9:


[[de:Johannes III. (Äthiopien)]]
[[de:Johannes III. (Äthiopien)]]
[[en:Yohannes III of Ethiopia]]
[[en:Yohannes III]]
[[fr:Yohannes III d'Éthiopie]]
[[fr:Yohannes III d'Éthiopie]]
[[he:יוהנס השלישי, קיסר אתיופיה]]
[[he:יוהנס השלישי, קיסר אתיופיה]]

Pitio la 20:48, 12 Septemba 2012

Yohannes III (amezaliwa takriban 1797) alikuwa mfalme wa Ethiopia. Kati ya 1840 na 1851, Yohannes III na binamu yake, Sahle Dengel, waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni Tewodros II. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa nasaba ya Solomoni. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Uhabeshi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohannes III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.