Vita ya miaka 100 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ga:Cogadh Céad Bliain |
d Roboti: Imeongeza xmf:ოშწანიანი ლჷმა |
||
Mstari 100: | Mstari 100: | ||
[[vls:Ounderdjoarigen ôorlog]] |
[[vls:Ounderdjoarigen ôorlog]] |
||
[[war:Uskagatos ka Tuig nga Gyera]] |
[[war:Uskagatos ka Tuig nga Gyera]] |
||
[[xmf:ოშწანიანი ლჷმა]] |
|||
[[yi:הונדערט-יעריגע מלחמה]] |
[[yi:הונדערט-יעריגע מלחמה]] |
||
[[za:Baknienz cancwng]] |
[[za:Baknienz cancwng]] |
Pitio la 17:45, 25 Julai 2012
Vita ya miaka 100 ilikuwa kipindi cha mapigano kati ya Ufaransa na Uingereza kilichodumu miaka 116 kuanzia mwaka 1337 hadi 1453.
Vita ilianza kwa sababu mfalme Charles IV wa Ufaransa aliaga dunia 1328 bila ya kumwacha mrithi, na mfalme Edward III wa Uingereza aliamini kwamba yeye mwenyewe ana haki ya kurithi cheo hiki kwa kuwa mama yake alitoka katika nasaba ya kifalme ya Kifaransa.
Wafaransa wengi walikataa na hii ilikuwa sababu ya vita.
Mwishowe Waingereza walipaswa kujiondoa katika Ufaransa mzima, hata katika maeneo makubwa waliyowahi kuyatawala chini ya mamlaka ya jina tu ya mfalme wa Ufaransa.
Viungo vya Nje
- England Hundred Years War Chronology World History Database
- France Hundred Years War Chronology World History Database
- Timeline of the Hundred Years War
- Jean Froissart, "On The Hundred Years War (1337-1453)" from the Internet Medieval Sourcebook
- The Hundred Years' War (1336-1565) by Dr. Lynn H. Nelson, University of Kansas Emeritus