Kabla ya Kristo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza nap:A.C.
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza la:Ante Christum natum
Mstari 19: Mstari 19:
[[ja:紀元前]]
[[ja:紀元前]]
[[ku:Berî zayînê]]
[[ku:Berî zayînê]]
[[la:Ante Christum natum]]
[[lmo:P.d.S.]]
[[lmo:P.d.S.]]
[[mt:QK]]
[[mt:QK]]

Pitio la 22:47, 17 Aprili 2012

Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka.

Hesabu hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani siku hizi. Kila mwaka huhesabiwa kuanzia mwaka unaodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Kristo. Miaka iliyofuata baada ya kuzaliwa kwake huitwa Baada ya Kristo au kifupi: BK.

Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"