Kisotho-Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d alihamisha Kisotho-Kaskazini (lugha) kwenda Kisotho-Kaskazini kwa kutengeneza elekezo: mabano siyo lazima
d roboti Badiliko: it:Lingua sotho del nord
Mstari 20: Mstari 20:
[[fr:Sotho du Nord]]
[[fr:Sotho du Nord]]
[[id:Bahasa Sepedi]]
[[id:Bahasa Sepedi]]
[[it:Lingua sesotho del nord]]
[[it:Lingua sotho del nord]]
[[ja:北ソト語]]
[[ja:北ソト語]]
[[lt:Šiaurės Soto kalba]]
[[lt:Šiaurės Soto kalba]]

Pitio la 12:43, 27 Januari 2012

Kisotho-Kaskazini (pia Kisepedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.