Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be:Прынцып Паўлі
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ml:അപവർജന നിയമം
Mstari 35: Mstari 35:
[[la:Principium exclusionis Pauli]]
[[la:Principium exclusionis Pauli]]
[[lt:Paulio draudimo principas]]
[[lt:Paulio draudimo principas]]
[[ml:അപവർജന നിയമം]]
[[ms:Prinsip pengecualian Pauli]]
[[ms:Prinsip pengecualian Pauli]]
[[nl:Uitsluitingsprincipe van Pauli]]
[[nl:Uitsluitingsprincipe van Pauli]]

Pitio la 07:14, 1 Oktoba 2011

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.

Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanuni ya Pauli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.