Mstari mnyoofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Badiliko: ar:خط (هندسة) |
d r2.4.3) (roboti Nyongeza: sn:Mutsetse |
||
Mstari 65: | Mstari 65: | ||
[[sk:Priamka]] |
[[sk:Priamka]] |
||
[[sl:Premica]] |
[[sl:Premica]] |
||
[[sn:Mutsetse]] |
|||
[[sq:Drejtëza]] |
[[sq:Drejtëza]] |
||
[[sr:Права (линија)]] |
[[sr:Права (линија)]] |
Pitio la 06:15, 20 Septemba 2011
Mstari mnyoofu (pia: Mstari ulionyooka) ni hoja la kijiometria. Katika tambarare mstari mnyoofu ni njia fupi kati ya nukta mbili inayoendelea kila upande bila badiliko la mwelekeo. Hauna mwisho au mwanzo wala upana au unene.
Kwa lugha nyingine ni jumla ya nukta zote zilizopo kwenye njia hiyo.
Tena kwa lugha nyingine ni mwelekeo wa nukta inayoelekea mahali bila kubadilisha mwelekeo huu.