Saint Kitts na Nevis : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: als:St. Kitts und Nevis
d r2.5.1) (roboti Badiliko: de:St. Kitts und Nevis
Mstari 90: Mstari 90:
[[cy:Saint Kitts a Nevis]]
[[cy:Saint Kitts a Nevis]]
[[da:Saint Kitts og Nevis]]
[[da:Saint Kitts og Nevis]]
[[de:Sankt Kitts und Nevis]]
[[de:St. Kitts und Nevis]]
[[dsb:Saint Kitts a Nevis]]
[[dsb:Saint Kitts a Nevis]]
[[dv:ސަންތި ކިޓަސް އަދި ނޭވީސް]]
[[dv:ސަންތި ކިޓަސް އަދި ނޭވީސް]]

Pitio la 13:46, 17 Februari 2011

Saint Kitts na Nevis


Ramani ya St. Kitts na Nevis


Saint Kitts na Nevis ni nchi ya visiwani kwenye visiwa viwili katika Bahari ya Karibi na nchi ndogo kabisa ya Amerika yote.

Mji mkuu wa Basseterre uko kwenye kisiwa cha Saint Kitts. Kisiwa kidogo cha Nevis (jina la zamani ya Kihispania: Nuestra Señora de las Nieves) kipo km 3 kusini-mashariki ya Kitts. Zamani pia kisiwa cha anguilla kiliunganishwa na visiwa hivi.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Kitts na Nevis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.