Nasaba ya Han : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: rue:Дінастія Ган |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: az:Xan sülaləsi |
||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
[[arz:عيلة خان]] |
[[arz:عيلة خان]] |
||
[[ast:Dinastía Han]] |
[[ast:Dinastía Han]] |
||
[[az:Xan sülaləsi]] |
|||
[[be:Дынастыя Хань]] |
[[be:Дынастыя Хань]] |
||
[[be-x-old:Дынастыя Хань]] |
[[be-x-old:Дынастыя Хань]] |
Pitio la 13:13, 3 Februari 2011
Nasaba ya Han (Kichina cha asili: 漢朝 ; Kichina rahisi: 汉朝; Hanyu Pinyin: Hàn cháo; Wade-Giles: Han Ch'au; 206 KK – 220 BK) ilifuata utawala wa nasaba ya Qin, na ilitangulia Dola Tatu katika Uchina. Utawala huu ulianzishwa na familia maarufu iliyofahamika kama Ukoo wa Liu.
Watu wa China huhesabu nasaba ya Han iliyodumu kwa karne nne kuwa moja ya vipindi vikuu katika historia yote ya nchi. Hivyo, watu wa jamii kubwa ya China hujihesabu mpaka leo “watu wa Han”, kwa heshima ya familia ya Han na utawala waliouanzisha.