Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 48: Mstari 48:
[[tr:Pauli dışlama ilkesi]]
[[tr:Pauli dışlama ilkesi]]
[[uk:Принцип виключення Паулі]]
[[uk:Принцип виключення Паулі]]
[[vi:Nguyên lý loại trừ]]
[[vi:Nguyên lý loại trừ Pauli]]
[[zh:泡利不相容原理]]
[[zh:泡利不相容原理]]
[[zh-min-nan:Pauli bô-chò-hoé goân-lí]]
[[zh-min-nan:Pauli bô-chò-hoé goân-lí]]

Pitio la 14:16, 18 Septemba 2010

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.

Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanuni ya Pauli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.