Willis Lamb : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pnb:ولیس لیمب |
d roboti Nyongeza: yo:Willis Lamb |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[tr:Willis Eugene Lamb]] |
[[tr:Willis Eugene Lamb]] |
||
[[uk:Вілліс Лемб]] |
[[uk:Вілліс Лемб]] |
||
[[yo:Willis Lamb]] |
|||
[[zh:威利斯·兰姆]] |
[[zh:威利斯·兰姆]] |
Pitio la 02:08, 11 Agosti 2010
Willis Eugene Lamb (12 Julai, 1913 – 15 Mei, 2008) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza usumaku wa atomu na kuboresha nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1955, pamoja na Polykarp Kusch alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Willis Lamb kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |