Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pnb:البرٹ شویتزر |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: uk:Альберт Швейцер |
||
Mstari 59: | Mstari 59: | ||
[[tl:Albert Schweitzer]] |
[[tl:Albert Schweitzer]] |
||
[[tr:Albert Schweitzer]] |
[[tr:Albert Schweitzer]] |
||
[[uk: |
[[uk:Альберт Швейцер]] |
||
[[vi:Albert Schweitzer]] |
[[vi:Albert Schweitzer]] |
||
[[zh:艾伯特·史懷哲]] |
[[zh:艾伯特·史懷哲]] |
Pitio la 23:24, 11 Aprili 2010
Albert Schweitzer (14 Januari, 1875 – 4 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.