Mstari mnyoofu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: el:Γραμμή |
d roboti Nyongeza: sk:Priamka |
||
Mstari 57: | Mstari 57: | ||
[[scn:Lìnia ritta]] |
[[scn:Lìnia ritta]] |
||
[[simple:Line]] |
[[simple:Line]] |
||
[[sk:Priamka]] |
|||
[[sl:Premica]] |
[[sl:Premica]] |
||
[[sq:Drejtëza]] |
[[sq:Drejtëza]] |
Pitio la 18:23, 11 Aprili 2010
Mstari mnyoofu (pia: Mstari ulionyooka) ni hoja la kijiometria. Katika tambarare mstari mnyoofu ni njia fupi kati ya nukta mbili inayoendelea kila upande bila badiliko la mwelekeo. Hauna mwisho au mwanzo wala upana au unene.
Kwa lugha nyingine ni jumla ya nukta zote zilizopo kwenye njia hiyo.
Tena kwa lugha nyingine ni mwelekeo wa nukta inayoelekea mahali bila kubadilisha mwelekeo huu.