Annise Parker : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ja:アニース・パーカー; cosmetic changes
d roboti Badiliko: ru:Паркер, Эннис
Mstari 33: Mstari 33:
[[pl:Annise Parker]]
[[pl:Annise Parker]]
[[pt:Annise Parker]]
[[pt:Annise Parker]]
[[ru:Эннис Паркер]]
[[ru:Паркер, Эннис]]
[[sk:Annise Parkerová]]
[[sk:Annise Parkerová]]
[[sv:Annise Parker]]
[[sv:Annise Parker]]

Pitio la 14:38, 28 Machi 2010

Annise Parker

Annise Danette Parker (amezaliwa tar. 17 Mei, 1956) ni meya mpya wa mji wa Houston jimboni Texas. Ni meya shoga wa kwanza wa mji mkubwa nchini Marekani. Wakati wa kampeni za uchaguzi alijulikana sana wakati huo alipojitangaza kuwa ni shoga. Parker ni ni mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia na alikuwa ni mwanachama wa baraza la mji katika Houston.

Viungo vya Nje