Houston, Texas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Houston)
Mji wa Houston, Texas






Jiji la Houston

Bendera
Jiji la Houston is located in Marekani
Jiji la Houston
Jiji la Houston

Mahali pa mji wa Houston katika Marekani

Majiranukta: 29°45′46″N 95°22′59″W / 29.76278°N 95.38306°W / 29.76278; -95.38306
Nchi Marekani
Jimbo Texas
Wilaya Harris
Fort Bend
Montgomery
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,208,180
Tovuti:  www.houstontx.gov

Houston ni mji wa Marekani katika jimbo la Texas. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 5.73 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 13 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Houston, Texas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.