Paul Simon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tr:Paul Simon
mbegu-muziki + jamii new york city
Mstari 3: Mstari 3:
Paul Simon alizaliwa tarehe [[13 Oktoba]], [[1941]] katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.
Paul Simon alizaliwa tarehe [[13 Oktoba]], [[1941]] katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.


{{mbegu}}
{{mbegu-muziki}}


{{DEFAULTSORT:Simon, Paul}}
{{DEFAULTSORT:Simon, Paul}}
[[Category:Waliozaliwa 1941]]
[[Category:Waliozaliwa 1941]]
[[Category:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Category:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:New York City]]


[[ar:باول سيمون]]
[[ar:باول سيمون]]

Pitio la 10:13, 16 Juni 2009

Paul Simon ni mwanamuziki wa country, anaimba na kupiga gitaa. Amewahi kushirikiana na wanamuziki wengi; moja ya makundi hayo ni Ladysmith Black Mambazo. Nyimbo alizowahi kuimba ni "Homeless", "Mother and child reunion" na "Diamond in the sole of her shoes".

Paul Simon alizaliwa tarehe 13 Oktoba, 1941 katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paul Simon kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.