Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ar:ألبرت شوايتزر
Mstari 14: Mstari 14:
[[af:Albert Schweitzer]]
[[af:Albert Schweitzer]]
[[als:Albert Schweitzer]]
[[als:Albert Schweitzer]]
[[ar:البرت شوايتزر]]
[[ar:ألبرت شوايتزر]]
[[bg:Алберт Швайцер]]
[[bg:Алберт Швайцер]]
[[br:Albert Schweitzer]]
[[br:Albert Schweitzer]]

Pitio la 03:52, 14 Februari 2009

Albert Schweitzer (14 Januari, 18754 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.