Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह |
d roboti Badiliko: zh:帕维尔·阿列克谢耶维奇·切连科夫 |
||
Mstari 40: | Mstari 40: | ||
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]] |
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]] |
||
[[sv:Pavel Tjerenkov]] |
[[sv:Pavel Tjerenkov]] |
||
[[zh:帕维尔·切 |
[[zh:帕维尔·阿列克谢耶维奇·切连科夫]] |
Pitio la 21:35, 30 Novemba 2008
Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 1904 – 6 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |