Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: tr:Pauli dışlama ilkesi
Mstari 40: Mstari 40:
[[sr:Паулијев принцип]]
[[sr:Паулијев принцип]]
[[sv:Paulis uteslutningsprincip]]
[[sv:Paulis uteslutningsprincip]]
[[tr:Pauli dışlama prensibi]]
[[tr:Pauli dışlama ilkesi]]
[[uk:Принцип виключення Паулі]]
[[uk:Принцип виключення Паулі]]
[[vi:Nguyên lý loại trừ]]
[[vi:Nguyên lý loại trừ]]

Pitio la 17:10, 10 Agosti 2008

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.