Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fi:Pavel Tšerenkov
d roboti Nyongeza: eo:Pavel Ĉerenkov
Mstari 18: Mstari 18:
[[el:Πάβελ Τσερένκοφ]]
[[el:Πάβελ Τσερένκοφ]]
[[en:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[en:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[eo:Pavel Ĉerenkov]]
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]]
[[fi:Pavel Tšerenkov]]
[[fi:Pavel Tšerenkov]]

Pitio la 10:54, 10 Juni 2008

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.