Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fi:Pavel Tšerenkov |
d roboti Nyongeza: eo:Pavel Ĉerenkov |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
[[el:Πάβελ Τσερένκοφ]] |
[[el:Πάβελ Τσερένκοφ]] |
||
[[en:Pavel Alekseyevich Cherenkov]] |
[[en:Pavel Alekseyevich Cherenkov]] |
||
[[eo:Pavel Ĉerenkov]] |
|||
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]] |
[[es:Pavel Alekseyevich Cherenkov]] |
||
[[fi:Pavel Tšerenkov]] |
[[fi:Pavel Tšerenkov]] |
Pitio la 10:54, 10 Juni 2008
Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 1904 – 6 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |