Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Removing: pl:Emirowie Umm Al-Qaiwain |
d roboti Nyongeza: pl:Umm al-Kajwajn |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]] |
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]] |
||
[[no:Umm al-Qaiwain]] |
[[no:Umm al-Qaiwain]] |
||
[[pl:Umm al-Kajwajn]] |
|||
[[pms:Umm al-Quwain]] |
[[pms:Umm al-Quwain]] |
||
[[ru:Умм-Аль-Кувейн (город)]] |
[[ru:Умм-Аль-Кувейн (город)]] |
Pitio la 03:34, 12 Mei 2008
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya Nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain