Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 31: Mstari 31:
[[ro:Pavel Alexeevici Cerenkov]]
[[ro:Pavel Alexeevici Cerenkov]]
[[ru:Черенков, Павел Алексеевич]]
[[ru:Черенков, Павел Алексеевич]]
[[sa:पावेल शेरेन्कोव]]
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]]
[[sl:Pavel Aleksejevič Čerenkov]]
[[sv:Pavel Tjerenkov]]
[[sv:Pavel Tjerenkov]]

Pitio la 07:06, 4 Februari 2008

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.