Lucia Chiavola Birnbaum

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lucia Chiavola Birnbaum ni mwanaharakati, mwanahistoria wa kitamaduni na profesa anayeibuka wa nchini Marekani mwenye asili ya Sicilia.

Maisha Binafsi[hariri | hariri chanzo]

Birnbaum alizaliwa katika mji wa Kansas, Missouri.[1] Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha California, Berkeley akiwa na Ph.D mnamo mwaka 1964.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Interview with Lucia Chiavola Birnbaum". academic.brooklyn.cuny.edu. Iliwekwa mnamo 2019-11-10. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lucia Chiavola Birnbaum kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.