Lindesberg

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kungsgatan (Mfalme wa Mitaani) katika Lindesberg

Lindesberg ni mji na manispaa nchini Uswidi. Kuna wakazi 8,752 (mwaka 2005).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 7.85 km². Umbali na Jiji la Stockholm ni 200  km.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lindesberg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.