Lazaro Nyalandu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyalandu

Lazaro Samuel Nyalandu (amezaliwa 18 Agosti, 1970) ni mbunge wa jimbo la Singida North katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Lazaro Samuel Nyalandu". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.