Nenda kwa yaliyomo

Kuzingirwa kwa Antiokia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kuzingirwa kwa Antiokia kulifanyika wakati Wasasani chini ya Shapur I walipozingira mji wa Dola la Roma wa Antiokia mwaka 253 baada ya kuwashinda Warumi katika Vita vya Barbalissos.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. A Companion to Late Antiquity, "In a devastating campaign in AD 253, Shapur ravaged northern Syria, took Hierapolis, managed to penetrate Roman territory as far as Antioch, and captured this third largest city of the Roman empire."

Kusoma zaidi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kuzingirwa kwa Antiokia kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.