Koobi
Mandhari


Koobi ni tilapia, samaki wa chumvi aliyekaushwa kwa chumvi nchini Ghana. Samaki ana ladha ya asili kwenye mchuzi na supu[1][2] katika vyakula vitamu vya kienyeji vya Ghana[3]. Hutumika kutayarisha vyakula vya Ghana kama vile fufu, supu, ndizi na mchuzi na vyakula vingine vya asili.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.modernghana.com/lifestyle/9645/one-dish-ghanaians-have-abandoned-and-missing-out-its-health.html
- ↑ https://www.pulse.com.gh/lifestyle/food-travel/diy-recipe-how-to-prepare-koobi-egg-stew-and-roasted-ripe-plantain/c9b9bjc
- ↑ https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/features/To-eat-Koobi-or-not-to-eat-515582
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Koobi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |