Kipurum

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kipurum ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Wapurum. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kipurum imehesabiwa kuwa watu 500. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipurum iko katika kundi la Kisal.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kipurum kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.