Kinkangala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kinkangala (lugha))

Kinkangala ni lugha ya Kibantu nchini Angola inayozungumzwa na Wankangala. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kinkangala imehesabiwa kuwa watu 22,300. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kinkangala iko katika kundi la K20.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinkangala kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.