Kiman-Met

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiman-Met ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Uchina inayozungumzwa na Waman-Met. Mwaka wa 1990 idadi ya wasemaji wa Kiman-Met imehesabiwa kuwa watu 900. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiman-Met iko katika kundi la Kipalaungiki. Wengine huiangalia kuwa sawa na lugha ya Kikemiehua.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiman-Met kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.