Kima'di

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kima'di (lugha))

Kima'di ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Uganda inayozungumzwa na Wama'di. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kima'di nchini Uganda imehesabiwa kuwa watu 296,000 (idadi hii imeaminika kuwa pamoja na wasemaji wa Kima'di ya Kusini ambacho ni lugha tofauti). Pia kuna wasemaji 18,000 nchini Sudan Kusini. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kima'di iko katika kundi la Kimoru-Madi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kima'di kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.