Kibugan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibugan ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Uchina inayozungumzwa na Wayi. Mwaka wa 2005 idadi ya wasemaji wa Kibugan imehesabiwa kuwa watu 2700. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kibugan iko katika kundi la Kipalyu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibugan kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.