Kibo (lugha)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kibo)

Kibo ni lugha ya Kipapua nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wabo. Mwaka wa 1998 idadi ya wasemaji wa Kibo imehesabiwa kuwa watu 85. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kibo iko katika kundi la Kiarai.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibo (lugha) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.