Katsushika Hokusai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya binafsi akiwa na umri wa miaka themanini na tatu

Katsushika Hokusai (1760– 10 Mei 1849) alikuwa mchoraji mashuhuri nchini Japan. Aliishi wakati wa nasaba ya Edo. Alichora hasa picha za nchi na mazingira. Mfumo aliotumia hasa ilikuwa chapisho za picha nakhshi katika ubao. Mtindo wake hujulikana kama "ukiyo-e".

Picha mashuhuri za Hokusai[hariri | hariri chanzo]