Karlskrona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa la Fredrik

Karlskrona ni manispaa na mji nchini Uswidi.Kuna wakazi 32,606 (mwaka 2005). Mji ulianzishwa 1680.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 21.36 km². Iko katika kaskazini ya nchi kando la Bahari ya Baltiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Karlskrona kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.