Kapan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Kapan

Kapan (Kiarmenia Կապան) jina la zamani Ghapan, Ghap’an, Kafin, Kafan, Katan, Qafan, Zangezur, na Madan) ni jina la mji mkuu wa mkoa wa Syunik huko nchini Armenia. Miji upo kilomita 316 kutoka mji mkuu wa nchi Yerevan, na takriban kilomita 1 kutoka mjini Kashatagh.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kapan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.